Ulimwengu wa Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, anasema wasomi wa Ulimwengu wa Kiislamu wanabeba dhima nzito kuhusiana na matukio yanayojiri huko Gaza na kwamba wanapaswa kuanzisha matakwa ya umma ya kukata uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478310 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jeshi linaloitekeleza mafundisho ya Qur'ani Tukufu sambamba na kuitumikia.
Habari ID: 3476432 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19